2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







πΉπΏAPARTMENT NZURI YA KISASA NA
IPO JIRANI Na BARABARA INAPANGISHWA
PRICE: 500,000 Γ 6
ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 20/07/2025 Au MAPEMA ZAIDI YA HAPO
#VYUMBA 2 VIKUBWA VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER BEDROOM KUBWA
#SEBULE KUBWA
#DINNING ROOM
#JIKO KUBWA LENYE MAKABATI
#PUBLIC TOILET NZURI π»
#LUKU Na METER YA MAJI DAWASA INAJITEGEMEA
#ZIPO APARTMENT 3 TUU KWENYE FENSI MOJA NA HII MOJA NDIO INAPANGISHWA
#PARKING KUBWA SANA π
π«π« APARTMENT HII IPO MBEZI KWA MSUGURI NA KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 5 TUU KWA MIGUU NA NJIA NI LAMI TUPU HADI KWENYE NYUMBA
SERVICE CHARGE 15,000
1 MONTH AGENT COMMISSION
CONTACT US: 0688 067 289 π
0714 418 005 WhatsApp