Shop for Rent in Sinza Mugabe, Dar Es Salaam

Amenities
Description
📢 Fremu Inapangishwa – Sinza Mugabe
✅ Bei: Tsh 250,000 kwa mwezi
✅ Eneo zuri la biashara
✅ Inatazama barabara
✅ Inafaa kwa duka, saluni, ofisi, wakala, stationery na biashara nyingine mbalimbali
✅ Mazingira salama na yenye wateja wengi
📍 Sinza Mugabe, Dar es Salaam. Eneo hili ni sehemu ya kata ya Sinza iliyopo Ubungo.
Wahi sasa, nafasi ni chache! 🔑🏪















