Farm for Sale in Maseyu, Gwata, Morogoro (50 acre)

Amenities
Description
🌿🐄 𝐒𝐇𝐀𝐌𝐁𝐀 𝐊𝐔𝐁𝐖𝐀 𝐋𝐈𝐍𝐀𝐔𝐙𝐖𝐀 – GWATA, MASEYU MOROGORO 🐄🌿
Fursa adimu kwa wawekezaji wa kilimo na ufugaji!
📍 𝗘𝗡𝗘𝗢: Maseyu, Gwata – Morogoro
📍 𝗨𝗠𝗕𝗔𝗟𝗜 wa Km 4 tu kutoka Barabara Kuu ya Dar es Salaam
📏 𝗨𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮: Hekari 50
💧 Mto unapita ndani ya shamba kwa takribani hekari 2, hivyo maji yanapatikana kwa urahisi mwaka mzima. Eneo la Maseyu lipo Gwata, Morogoro.
✅ Linafaa sana kwa ufugaji wa ng'ombe, mbuzi na kondoo
✅ Linafaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali
✅ Eneo kubwa lenye fursa nyingi za maendeleo
✅ Barabara ya kuingia ipo na shamba limeshasafishwa.
𝗕𝗘𝗜 💰: 𝗧𝘀𝗵. 700,000 tu kwa Hekari 1
🚗 Agent Fee ya kupelekwa kuona shamba:𝗧𝘀𝗵. 100,000/=
𝗠𝗮𝘄𝗮𝘀𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗼 📞: 0678-517158 0785-517158
🔥Wahi sasa! Hekari 50 zenye mto ndani ya shamba kwa bei nafuu ni fursa ya uwekezaji ambayo haipatikani mara kwa mara.**



