Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba Kwa Awadhi, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
800 SQM
Awali
Inaruhusiwa
Maelezo
Nyumba mpya kubwa ya kisasa inauzwa
Ipo ๐ Dar es salaam, Ubungo. GOBA KWA AWADHI.
โช๏ธ Nyumba ina vyumba vinne (4) vikubwa vyenye makabati ya nguo (vyote ni master bedroom)๐ฅ
โช๏ธ Nyumba ipo mtaa mzuri na salama
โช๏ธ Inafikika vizuri sana kwa gari, barabara zipo vizuri. Gari ya chini inafika vizuri.
โช๏ธ ENEO SQM 800
โช๏ธ BEI: TZS 520 Million (Maongezi yapo)
โช๏ธ Malipo kwa awamu โ
๏ธ
โช๏ธ Full documents: HATI MILIKI โ
๏ธ
Tupigie: 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency















