Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Maelezo
🏢 FREMU NZURI INAPANGISHWA – SINZA 🏢
✅ Bei: Tsh 350,000 tu kwa mwezi
✅ Eneo zuri na salama
✅ Inafaa kwa biashara mbalimbali
✅ Mazingira mazuri kwa wateja
✅ Inapatikana mara moja
📞 Mawasiliano: 0678512666
⚡ Usikose nafasi hii! Wahi kabla haijachukuliwa.















