Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Fani City, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI FANI CITY π‘
Unatafuta nyumba ya kuhamia yenye mazingira mazuri na bei nafuu? Hii hapa fursa yako!
β
Vyumba 3
β
Vyumba 2 Master
β
Sebule kubwa na eneo la kulia chakula
β
Jikoni la kisasa
β
Plot Size: SQM 600
β
Eneo tulivu na salama kwa makazi
π Umbali
βοΈ Kilomita 1 kutoka Barabara Kuu
βοΈ Kilomita 12 kutoka Ferry
βοΈ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: Milioni 95 Tu (Mazungumzo yapo kwa mnunuzi makini)
π Wasiliana: 0769554221
π Service Charge: TSh 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateforsale #tanzaniaπΉπΏ #trendingreelsvideo















