Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Madale Flamingo, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
900m
Maelezo
NYUMBA MPYA YENYE HATI, TZS.380 MILIONI,MADALE-FLAMINGO
Ipo umbali wa mita 900 kutoka Baraya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.500.
Umiliki Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba 2/3 vya kulala ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
USIKOSE KUIKAGUA HII.
________________
ANGALIZO :
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________zw















