Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam (400 sqm)





Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ APARTMENTS 2 in 1 ZINAUZWA β TABATA SEGEREA π₯
Fursa adimu ya uwekezaji katika eneo lenye mahitaji makubwa!
Ndani ya compound moja kuna nyumba 2 za kisasa, kila moja ikiwa na:
β
Vyumba 3 vya kulala (1 Master Bedroom)
β
Sebule kubwa
β
Jiko
β
Choo cha wageni (Public Toilet)
β
Maji na umeme wa kujitegemea
π Ukubwa wa eneo: SQM 400
π£οΈ Barabara nzuri, panafikika kwa urahisi
ποΈ Mazingira mazuri na salama
π° Kwa sasa kila nyumba inapangishwa kwa TSh 450,000/= kwa mwezi, hivyo unaweza kuendelea kukusanya kodi mara moja baada ya kununua.
π Ukiifanyia maboresho madogo ya finishing, unaweza kuongeza thamani ya upangishaji hadi TSh 600,000 β 1,000,000+ kwa mwezi kwa kila nyumba, kutokana na mahitaji makubwa ya nyumba za vyumba 3 maeneo ya Tabata Segerea.
π― Chaguo ni lako:
βοΈ Nunua kwa uwekezaji na endelea kukusanya kodi
βοΈ Ishi kwenye nyumba moja na pangisha nyingine
βοΈ Karabati kidogo na kuongeza mapato yako ya kila mwezi
π΅ Bei: Milioni 90
Service charge / Gharama ya huduma: 30,000/=
π Muhitaji piga: +255 688 412 890
Dalali wako Wakishua. π‘β¨















