1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







*#APARTMENT ZINA PANGISHWA KIMARA MWISHO UMBALI KM.1 UKISHUKA UNATEMBEA DAKIKA.3 TUU ....*
------
#Chumba Kimoja
#kikubwa Master
#Sebule kubwa sana
#Na jiko Lake kubwa
#Slide windows
#Maji yana flow chooni
#Umeme Luku Yake
#Maji dawasa miters yako
#security 24HRS kilakona
#Fensi kubwa ya kulaza gari
#Mazingila mazuri sana mno
--------
Kodi ni Tsz 170,000/=X "6"
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 15,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347