1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 MASTER BED ROOM YA KISASA – KIMARA MWISHO
📍 Eneo: Kimara Mwisho
🕓 Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 12 kwa miguu. Pia unaweza kupita kupitia Kimara Korogwe.
🏠 SIFA ZA NYUMBA:
🔹 Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
🔹 Jiko zuri na la kisasa
🔹 Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
🔹 Maji yanapatikana masaa 24/7
🔹 Fensi hamna & Parking kubwa na salama
👉 Chumba kitakuwa wazi tarehe 10/03/2026. Unaweza kuja kuangalia ndani na kufanya malipo luksa kabisa. Booking inaruhusiwa hata kwa mwezi mmoja.
💰 GHARAMA:
🔸 Kodi: Tsh 180,000 × 6 (Miezi sita)
🔸 Malipo ya dalali: Tsh 180,000
🔸 Service charge: Tsh 15,000
📞 #Piga_simu👇
#please #Follow_us 🙏
Karibu Sana Mteja! 😊
0713661530_0783661530




















