1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







INAPANGISHWA LOCATION KIMARA MWISHO KM 2
KUTOKA STEND KIMARA MWISHO USAFIRI BAJAJI ZIPO NA PIKIPIKI KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES CHUG 15
UKIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA
SIFA YA NYUMBA
Nyumba hii ipo yenyewe tuu kwenye fensi yaani ipo peke yake kwenye fensi
Ina vyumba viwilli vya kulala chumba kimoja ni master bedroom Sebule kubwa sana na jiko zuri ndani
Hii nyumba NI mpya mpya
Inajitegemea umeme NA maji
Mazingira mazuri sana kwa watoto
KODI YA PANGO
Kodi kwa mwezi ni laki tatu nanusu
(350,000)
X 6
Ira ina weza kupunguwa piya
Boss ni mwelewa sanaa
SIMU 0659336751 WSP 0786085637