1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







#APARTMENT MPYA#INAPANGISHWA
📍Kimara korogwe
🕓Umbali wa Kutoka stand ya mwendo Mwendokasi Dakika 3 Tu
#SIFAZAKE
🔸Chumba Kimoja master kikubwa
🔸Sebule
🔸Jiko
🔸Umeme & Maji #Inajitegemea
🔸Fence & Parking vinawekwa
👉Zipo apartments 2 kwenye Compound
🔹Kodi Tsh 250,000/=×6(Miezi 12 )
🔹Malipo ya Dalali Tsh 250,000/=
🔹Service Charge Tsh 15, 000/=
📌📌 Nyumba ni mpya mafundi wapo kazini fance & packing inawekwa kodi unachaguwa unalipaje 250k miezi 12 au unaweza lipa kwa 300k miezi 6
Mawasiliano 0656623510
WSP 0752436347