1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







#APARTMENT MPYA#INAPANGISHWA
📍Kimara korogwe
🕓Umbali wa Kutoka stand ya mwendo  Mwendokasi Dakika 6  Tu kwa mguu 
#SIFAZAKE
🔸Chumba Kimoja master kikubwa 
🔸Sebule 
🔸Jiko linawekwa makabati 
🔸Umeme & Maji #Inajitegemea
🔸Fence & Parking kubwa 
👉Zipo apartments 4 kwenye Compound 
🔹Kodi Tsh 300,000/=×6(Miezi 6 )
🔹Malipo ya Dalali Tsh 300,000/=
🔹Service Charge Tsh 15, 000/=
 📌Zinakuwa zimekamilika kwa kuhamia  Tar 15/09/2025 kuona na kufanya malipo luksa kabisa 
#Piga_simu👇
O627977383
# 📞. &Whatsapp
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😁




















