2 Bedrooms House for Rent at Kinyerezi, Dar Es Salaam





Nyumba inapangishwa Kinyerezi Mbuyuni.
- Vyumba viwili (kimoja master)
- Sebule
- Jiko lenye makabati
- Public toilet
- Maji 24/7
- Umeme unajitegemea
- Maji unajitegemea
- Paving
- Parking
- Fence
- Mlinzi wa kampuni
- Dakika 0 kutoka lami
Kodi 300,000/= MIEZI SITA.
Kupelekwa 20,000/= itadumu mbaka utakapo pata nyumba.
Udalali sawa na kodi ya mwezi mmoja.
Muhitaji piga 0688 412 890.