2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kibamba, Dar Es Salaam







APARTMENT INAPANGISHWA KIBAMBA
Vyumba 2 vya kulala kimojawapo master bedroom sebule jiko na public toilet
Kodi 300,000 kwa mwezi × 6 na 50,000/= ya Tahadhari
Umbali dakika 10 tu kwa mguu
Apartment ni 2 kwenye fence kila apartment inajitegemea umeme na maji,
Kupelekwa kuona nyumba 20,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba
kwa maelezo zaidi piga O677370515



















