2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Sinza, Dar Es Salaam


Apartment kali sanaa
@
Inapangishwa
@
Bei 800.000 kwa mwez
@
Mahali sinza
@
Malipo miez 6 na dallai 7
@
Ni nyumba ya vyumba 2 sebule jiko choo
@
Chumba kimoja master
@
Umeme na maji mita yako
@
Parkingi ipo
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
KWa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687



















