2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Wazo, Dar Es Salaam


✨ APARTMENTS MPYA ZA KISASA ZINAPANGISHWA – TEGETA WAZO
📍 Eneo: Tegeta Wazo – Umbali wa mita 500 kutoka lami
🏠 Aina: Vyumba 2 (vyote Master)
💵 Kodi: TSh 700,000 kwa mwezi
🔐 Malipo ya kuanzia: Miezi 6
---
MAELEZO YA NDANI:
Vyumba 2 vya kulala vyote ni Master
Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha
Jiko la kisasa
Choo cha wageni (Public toilet)
---
IDADI YA APARTMENTS: 4
Mazingira tulivu, salama, na yanayofaa familia.
📞 Wasiliana nasi kuona nyumba:
#0758998074👈
#0689138795whatsapp



















