3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 500,000

NYUMBA HII NZURI IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA NA ZIPO MBILI TUU KWENYE FENSI MOJA NA ZIPO MBALI MBALI BEI NI 500,000/= X 6

ITAKUWA WAZI KUANZIA TAREHE 01/11/2024 AU MAPEMA ZAIDI YA HAPO

๐ŸŒŸ NYUMBA HII INA SIFA ZIFUATAZO

#VYUMBA 3 VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER BEDROOM KUBWA
#SEBULE KUBWA
#DINNING
#JIKO KUBWA LA KISASA
#PUBLIC TOILET
#LUKU NA MITA YA MAJI DAWASA INAJITEGEMEA
#PARKING KUBWA
#GARDEN

#ZIPO NYUMBA MBILI TUU KWENYE FENSI MOJA NA ZIPO MBALI MBALI NA HII MOJA NDIO INAPANGISHWA

BEI NI 500,000/= X 6

๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ NYUMBA HII IPO KIMARA TEMBONI UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI DK 10 TUU KWA MIGUU USAFIRI NI BAJAJI NA UKISHUKA TUU KWENYE BAJAJI UNAPIGA TEKE MLANGO KWA MIGUU NA NJIA NI RAFIKI KWA AINA ZOTE ZA MAGARI HADI KWENYE NYUMBA
0787 939 898
KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 15 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA

selebobo Agent
dalali_tishio_tz
selebobo Agent

Similar items by location

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 100,000

(100,000X3)KIMARA TEMBONI____________APARTMENT INAPANGISHWA KIMARA TEMBONIChumba master Kubwa sanaKo...

3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

(500,000X6)KIMARA KOROGWE DK 12 KWA MIGUU KUTOKA MOROGORO ROAD_________________HIZI NYUMBA ZIPO 3 TU...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 200,000

(200,000X6)KIMARA KOROGWE DK 3 KWA MIGUU KUTOKAMOROGORO ROAD_____________NEW NEW APARTMENT ZINAPANGI...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

:๐˜ผ๐™ฅ๐™–๐™ง๐™ฉ๐™ข๐™š๐™ฃ๐™ฉ ๐™‰๐™ฏ๐™ช๐™ง๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™†๐™ช๐™ฅ๐™–๐™ฃ๐™œ๐™– 300k#๐™‡๐™ค๐™˜๐™–๐™ฉ๐™ž๐™ค๐™ฃ: KIMARA MWISHO ๐˜ฟ๐™ž๐™จ๐™ฉ๐™–๐™ฃ...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 150,000

Apartment inapangishwa KIMARA KOROGWE dk4NYUMBA INA CHUMBA KIMOJA CHA KULALAMaster bedroomFull till...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 180,000

CHUMBA MASTER JIKO NI KIKUBWA SANA KAMA VILE CHUMBA SEBULE CHOO JIKO KODI 180,000X6 LOCATION; KIMARA...

5 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

STAND ALONE KUBWA SAN INAPAGISHWA IPO KIMARA TEMBON UMBALI KM 1.3 KULIA KAM UNAENDA MBEZI SIFA ...

Plot for sale at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 45,000,000

KIWANJA KINAUZWAUKUBWA WA KIWANJA SQM 400 BEI MILIONI 45KIWANJA KIPO KIMARA KOROGWE UPANDE WA KUSHOT...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

๐Ÿก Masterbedroom, Sebule na Jikoโ€“ 500K TshFurahia maisha mazuri Kimara korogwe๐Ÿ”น Maelezo ya Nyumba:โœ”...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 120,000

APARTMENT MPYAA INA PANGISHWA HAPA ZIPO ZA AINA 3 TOFAUTI SOMA MAELEZO KWA UMAKINI CHUMBA MASTER KIK...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APARTMENT KALI SANA MPYAA INA PANGISHWA KODI 350,000X6 VYUMBA VIWILI VYA KULALA KIMOJA MASTER SEBULE...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 180,000

CHUMBA MASTER JIKO NI KIKUBWA SANA KAMA VILE CHUMBA SEBULE CHOO JIKO KODI 180,000X6 LOCATION; KIMARA...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

VYUMBA VIWILI VYA KULALA KIMOJA MASTER SEBULE KUBWA JIKO KUBWA PUBLIC TOILET KODI 300,000X6 IPO KIMA...

Plot for sale at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 45,000,000

KIWANJA KINAUZWAUKUBWA WA KIWANJA SQM 400 BEI MILIONI 45KIWANJA KIPO KIMARA KOROGWE UPANDE WA KUSHOT...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 180,000

CHUMBA MASTER JIKO NI KIKUBWA SANA KAMA VILE CHUMBA SEBULE CHOO JIKO KODI 180,000X6 LOCATION; KIMARA...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

APARTMENT KALI SANA MPYAA INA PANGISHWA KODI 350,000X6 VYUMBA VIWILI VYA KULALA KIMOJA MASTER SEBULE...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 180,000

CHUMBA MASTER JIKO NI KIKUBWA SANA KAMA VILE CHUMBA SEBULE CHOO JIKO KODI 180,000X6 LOCATION; KIMARA...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

VYUMBA VIWILI VYA KULALA KIMOJA MASTER SEBULE KUBWA JIKO KUBWA PUBLIC TOILET KODI 300,000X6 IPO KIMA...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

HOUSE FOR RENT STAND ALONE INAJITEGEMEA YENYEWE KWENYE ENEO MOJA KODI 350,000X6 LOCATION KIMARA BARU...

1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISWA KODI 500,000X3LOCATION KIMARA KOROGWE KILUNGULE KM 1.5 USAFIRI...