3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIMARA STOP OVER DK15 KWA MIGUU KUTOKA LAMI
------
Vyumba 3 vya kulala 2 master bedroom
Master ya mlipa kodi kibwa sana
Seble kubwa
Dinning room
Jiko kubwa lina wekwa mabo na sinki
Maji yana flow
Luku yako
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
---------
Service charge 15,000/=
Kodi 500,000x6
----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 5
----------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693_673010
#dalali_big_kimara๐น๐ฟ๐ฅ
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA ๐