3 Bedrooms House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE MBEZI MWISHO DK15 KUTOKA LAMI
-----
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Dinning room
Jiko kubwa
Public toilet
Slide window
Luku yako
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
-----
Service charge 15,000/=
Kodi 500,000x4
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 5
------
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏



















