3 Bedrooms House for Rent at Sinza, Dar Es Salaam


🏡 Nyumba ya Vyumba 3 Inapangishwa –
Sinza Madukani 🌿
💰 Kodi: 600,000/= kwa mwezi
🛏️ Vyumba vitatu vya kulala
🛋️ Sebule kubwa ya familia
🍳 Jiko zuri la ndani
🚿 Choo na bafu la ndani (public)
💧 Maji yapo muda wote
⚡ Umeme unajitegemea
🚗 Parking inapatikana
📍 Eneo ni tulivu, salama na karibu na huduma zote muhimu
INAFAA KWA MAKAZI NA BIASHARA
📞 Wasiliana: 0678 512 666 (Mshua Real Estate)