3 Bedrooms House for Rent in Kimara, Dar Es Salaam







NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIMARA STOP OVER KM1.5 KUTOKA LAMI
------
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa sana
Dinning room
Jiko kubwa la kisasa/ stoo
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Ndani ya fence
Parking space
------
Service charge 20,000/=
Kodi 550,000/=×6
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 5.5
-------
Contact
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏




















