3 Bedrooms House for sale at Goba, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA VITATU (3) TSHS.260 MILIONI, GOBA MATOSA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,300.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Hii nyumba ya kisasa ambayo pia Ina Servant's Quarter yenye Vyumba viwili (2) inayojitegemea.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mpg
Vyumba 3 ( Masta 1) Sebule,Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.