3 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.48 MILIONI,MBAGALA-CHAMAZI. 
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. 
Imejengwa kisasa. 
Ina vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room, 
Store na Choo cha Familia ndani. 
Huduma za Umeme na Maji zipo ikiwemo Parking kwaajili Usalama wa ya Gari yako.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000. 
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. 
+255 714 591 548
________________rKmb


















