3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 500,000

NYUMBA KUBWA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA NA ZIPO NYUMBA MBILI TUU NA ZIPO MBALI MBALI NA HII KUBWA NDIO INAPANGISHWA BEI NI 500,000/= X 6

ITAKUA WAZI KUANZIA TAREHE 05/04/2025 KUONA NDANI RUKSA KABISA ENDAPO MPANGAJI ATAKUWEPO

APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO

#VYUMBA 3 VIKUBWA VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER BEDROOM KUBWA
#SEBULE KUBWA SANA
#DINNING
#JIKO KUBWA LA KISASA
#PUBLIC TOILET
#CHUMBA CHA KUJISOMEA
#AIR- CONDITION
#GARDEN

BEI NI 500,000/= X 6

BILA KUSAHAU PESA YA TAHADHARI (CAUTION MONEY) AMBAYO ITAKWATA HELA YA MWEZI MMOJA NDANI YA MALIPO YA MIEZI 6 KWAHIYO ITAHESABIKA MIEZI 5

💫💫 APARTMENT HII IPO KIMARA MWISHO UPANDE WA KULIA KAMA UNAENDA MBEZI KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI KM 1.5 USAFIRI NI BAJAJI, DALADALA AU BODABODA NA NYUMBA IPO MTAA MZURI SANA NDUGU MTEJA

KUONESHWA NYUMBA HII GARAMA YAKE NI SHILINGI ELFU 15 NA UKIIPENDA NYUMBA HII UTALIPIA PESA YA UDALALI KODI YA MWEZI MMOJA

Kwa maelezo zaidi piga :--

0712528820
0685221354

Mr.

ubungo  🔥 Riverside
dalali_riverside
ubungo 🔥 Riverside

Similar items by location

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

(500,000X6)KIMARA TEMBONI ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 500,000/= X 6 💥 ...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 280,000

(280,000X6)KIMARA TEMBONI ——𝘼𝙥𝙖𝙧𝙩𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙉𝙯𝙪𝙧𝙞 𝙮𝙖 𝙆𝙪𝙥𝙖𝙣𝙜𝙖 280k#𝙇𝙤𝙘𝙖𝙩𝙞𝙤𝙣:...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

HIZI APARTMENT ZIPO 4 KWENYE COMPAUND MOJA KATI IZO MOJA IPO WAZI #SEBULE KUBWA#VYUMBA 2 VYA KULALA#...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 500,000/= X 6 💥 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #VYU...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 500,000/= X 6 💥 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #VYU...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

HIZI APARTMENT ZIPO 4 KWENYE COMPAUND MOJA KATI IZO MOJA IPO WAZI #SEBULE KUBWA#VYUMBA 2 VYA KULALA#...

3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

INAPANGISHWA LOCATION KIMARA STOP OVER DK 5KUTOKA STEND STOP OVER KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES CH...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

APARTMENT KALI SANA ZINA PANGISHWA KIMARA MWISHO KILOMITA 2.3 BODA BUKU. BAJAJ 700CHUMBA MASTER SE...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 180,000

NYUMBA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA ITAKUWA WAZI TH 30 MWEZI WA 8 KODI 180,000X6 KIMARA SUKAUMBALI N...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 160,000

APARTMENT NZURI INAPANGISHWA KIMARA MWISHO KODI NI 160,000x4👈CHUMBA KIMOJA MASTASEBULE_KUBWAKIBALAZ...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

HIZI APARTMENT ZIPO 4 KWENYE COMPAUND MOJA KATI IZO MOJA IPO WAZI #SEBULE KUBWA#VYUMBA 2 VYA KULALA#...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 280,000

——𝘼𝙥𝙖𝙧𝙩𝙢𝙚𝙣𝙩 𝙉𝙯𝙪𝙧𝙞 𝙮𝙖 𝙆𝙪𝙥𝙖𝙣𝙜𝙖 280k#𝙇𝙤𝙘𝙖𝙩𝙞𝙤𝙣: Kimara Temboni 𝘿𝙞𝙨𝙩𝙖...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 387,747

APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 500,000/= X 6 💥 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #VYU...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 350,000

MPYA MPYA MPYA KABISA ZINAPANGISHWA KIMARA KOROGWE UMBALI KUTOKA KITUO CHA MWENDO KASS NI KM.2 USAF...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 180,000

NYUMBA NZURI YA KISASA INAPANGISHWA PIGA SIMU I'mITAKUWA WAZI TH 30 MWEZI WA 8 KODI 180,000X6 KIMARA...

House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

APARTMENT CLASSIC FOR RENT ✨️ qPRICE: 500,000 × 6 ✍️SEBULE KUBWA SANA✍️VYUMBA V3 VIKUBWA ✍️VYUMBA VY...

1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 160,000

APARTMENT NZURI INAPANGISHWA KIMARA MWISHO KODI NI 160,000x4👈CHUMBA KIMOJA MASTASEBULE_KUBWAKIBALAZ...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

HIZI APARTMENT ZIPO 4 KWENYE COMPAUND MOJA KATI IZO MOJA IPO WAZI #SEBULE KUBWA#VYUMBA 2 VYA KULALA#...

House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 250,000

INAPANGISHWA LOCATION KIMARA MWISHO DK 10KUTOKA STEND KIMARA MWISHO PIKIPIKI BUKU KODI YA PANGO ____...

2 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

Sh. 400,000

HIZI APARTMENT ZIPO 4 KWENYE COMPAUND MOJA KATI IZO MOJA IPO WAZI #SEBULE KUBWA#VYUMBA 2 VYA KULALA#...