4 Bedrooms House for Rent at Tabata, Dar Es Salaam


Nyumba inapangishwa sh 700000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 na kuendelea, ina vyumba 4 chumba kimojawapo master, sebule, jiko lenye makabati, public toilet, dining room, parking, umeme na maji unajitegemea, reserve water tank, fence inajengwa, location tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Muhitaji piga
Calls/Whatsapp 0653233641
0768682919
#Ghalama ya kupelekwa kuonyeshwa nyumba sh 20000
#Bila kusahau pesa ya mwezi mmoja endapo ulipapo nyumba
Follow me dalali mchina tabata kinyerezi istagram, Facebook & tik tok, napatikana tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam Tanzania