4 Bedrooms House for sale at Bunju, Dar Es Salaam







NYUMBA-2, MADUKA-4, PLOT SQM.2,600, INAUZA BANK TSHS.599 MILIONI, BUNJU.
Hii ni nyumba nzuri ya MAKAZI na BIASHARA.
Nyumba moja Ina vyumba 4.
Nyumba ya pili Ina vyumba 3.
Kila nyumba inajitegemea.
Pia kuna Frem za Maduka 4 (Zote zina Wapangaji)
Kuna Mgahawa na Mini-super Market.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ni umbali wa kutoka Barabara ya Bagamoyo.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.