4 Bedrooms House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA KUBWA, VYUMBA VINNE (4) TSHS.75 MILIONI,MBEZI MSHIKAMANO/MADUKA 9.
Kiwanja kina ukubwa SQM.1,400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ni umbali wa kilomita 2 tu kutoka MBEZI MWISHO.
Nyumba ipo Mtaa uliojengeka na tulivu.
Ina vyumba vinne (4) kimoja ni Masta,
Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store, Jiko na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna Nyumba ndogo ya nyuma yenye vyumba (2)
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali 10%
Gharama ya kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.