5 Bedrooms House for sale at Kitunda, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE HATI, KIWANJA SQM.1 500,TSHS.65 MILIONI, KITUNDA/MWANAGATI.
Hapa ni jirani na MWANAGATI Sekondari.
Nyumba ni ya kizamani yenye Vyumba 5.
Eneo zuri.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Kuna Kituo cha Daladala na jirani na Lami.
Unaweza kujenga nyumba ya Biashara.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________jj