House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


💥Nyumba Kubwa Sana Inapangishwa #450,000/= *6
#KIMARA BARUTI (Kimara ya mwanzoni)
______
__
• Vyumba 2 vya Kulala (Kimojawapo Master)
• Sebule
• Jiko Lenye Makabati
• Choo cha Public
• Store
* A/c
* Inajitegemea UMEME na MAJI
* Maji yanatoka ndani
* Ndani ya fensi zipo 2 tu
* Moja imechukuliwa imebaki hi moja tu
* Parking Ipo
* Electric fence
#Umbali wa dk 12 - 15 kwa miguu au bajaji 500
_____
#Malipo ya dalali Nasoni ni 450,000/=
#Service Charge 15,000/=
№: 0753-172-516