House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


π―οΈlipia Kodi hata mwezi mmoja
π Chumba chenye vitu ndani kinapangishwa KIMARA KOROGWE, 200,000/= Γ1
__________________________
π Kitanda na Godoro unavikuta
π Kiti na meza unavikuta
β’ Chumba master Kizuri
ΓHamna Jiko
β’ Sehem ya kupumzika ya kushare
* Umeme BURE
* Maji BURE
* Usafi Wa mazingira BURE
* Slide window
* Mazingira Tulivu sana.
#Umbali wa dakika 8-12 tu Kwa miguu
NB: Kinamfaa mtu Bachelor
__________
π *MUHIMU*
#Malipo ya Dalali Nasson ni 200,000/=
#Kwenda kuona 15,000
β:- 0753172516