House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







๐น๐ฟ MASTER BEDROOM INAPANGISHWA โ KIMARA MWISHO
๐ Eneo: Kimara Mwisho
๐ Dakika 10โ15 kwa miguu kutoka kituo cha Mwendo Kasi
Pia unaweza kupita Kimara Korogwe (usafiri wa boda boda Tsh 1,000/= tu)
๐ก SIFA ZA NYUMBA
๐ธMaster Bedroom kubwa na yenye nafasi ya kutosha
๐ธJiko kubwa, safi na la kisasa
๐ธUmeme wa LUKU (Sub-meter)
๐ธ Maji ya uhakika masaa 24/7
๐ธParking kubwa ya magari
๐ธUsalama wa uhakika masaa 24/7
๐ธMazingira tulivu (No Uswahili) hapa.
GHARAMA
๐น Kodi: Tsh 180,000/= ร miezi 5 au (miezi 6)
๐น Dalali: Tsh 180,000/=
๐น Service Charge: Tsh 15,000/=
๐ Wasiliana nasi (Piga simu / WhatsApp):
๐ 0740 747 383
๐ Tafadhali Follow ukurasa wetu
๐ค Karibu sana mteja โ Huduma bora ni kipaumbele chetu ๐



















