House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


๐ฅNyumba Mpya Inapangishwa, KIMARA MWISHO
๐300,000/= *6
______
__
โข Chumba Master Kikubwa
โข Sebule Kubwa
โข Jiko Zuri lenye makabati
* UMEME na MAJI inajitegemea
* Maji Yanatoka ndani
* Fensi
* Parking
#ipo Umbali wa dakika 10 tu kwa miguu
๐ Note: Kodi Inaambatana na hela ya Tahadhari (caution money) 300,000/= unavyohama unarudishiwa
๐ PS: Inakuwa Tayari aKuhamia tarehe 25/05/2024, kuona na kulipia ruksa
_____
#Malipo ya dalali Nasoni ni 300,000/=
#Service Charge 15,000/=
โ: 0753-172-516