House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


💥 Inapangishwa #250,000/= *3 (Miezi mitatu Anapokea)
#KIMARA TEMBONI
📌 Nyumba ya Jirani na Barabara hii
______
__
• Jiko
• Sebule
• Chumba cha Kulala
• Choo Ndani kwa Ndani (Hata mgeni wako anatumia bila kuingia chumbani kwako)
* UMEME na MAJI inajitegemea
* Maji Ndani
* Fensi
* Parking
#Umbali wa dk 6 tu kwa miguu
_____
#Malipo ya dalali Nasoni ni 250,000/=
#Service Charge 15,000/=
№: 0753-172-516