House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







INAPANGISHWA LOCATION KIMARA STOP OVER DK 12 KUTEMBEA KWA MIGUU PIKIPIKI ELF 1
KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES CHUG 15
UKIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA
SIFA YA NYUMBA
_________________
hii nyumba NI chumba sebule master bedroom na jiko zuri ndani Inajitegemea umeme
Nyumba hii ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana
Kwenye fensi watu 3
KODI YA PANGO
________________
Kodi kwa mwezi ni laki moja nasitini tuu
Unakuwa umeripiya na maji
Hiyo bei
Umeme wako mwenyewe
(160,000)
( X 6 )
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU
______________
##0655256419