House for Rent at Mawasiliano, Morogoro


🚨🚨🚨
*Master bedroom na sebule*
• Fenced ila hakuna parking
• Unajitegemea umeme na maji
• Nyumba ipo barabarani (Nyumba lami)
Bei: TZS 300k kwa mwezi
📍 Mahali: CHANGANYIKENI
📅 Masharti ya Malipo: kuanzia miezi 6
Huduma za Ziada:
• Service charge: TZS 20,000 (itadumu mpaka utakapo pata nyumba)
• Gharama ya udalali: Kodi ya mwezi mmoja
Kwa mawasiliano zaidi:
📞 WhatsApp/Piga: 0627216197