House for rent at Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENT ZINA PANGISHWA MBEZI BEACH
--------
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko kubwa a kisasa lina makabati
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Tiles
Gypsum
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
---------
Service charge 20,000/=
Kodi 1,200,000/=×6
----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni milioni 1.2
----------
Contact
📞#0676_218580(WhatsApp)
📞#0693_673010
#dalali_big_goba_mbezi_beach🇹🇿