House for rent at Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE MBEZI MWISHO NYUMA YA STEND YA MKOWA KM1.5 KUTOKA LAMI
-------
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko
Public toilet
Slide window
Luku yako
Tiles
Gypsum
Maji yana flow
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
--------
Service charge 15,000/=
Kodi 350,000/=ร6
---------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 3.5
---------
Contact
๐#0676_218580 (WhatsApp)
๐#0693_673010
#dalali_big_kimara๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐พ
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT ๐น๐ฟ
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA ๐