House for rent at Tabata, Dar Es Salaam


(STAND ALONE)house for rent, nyumba inapangishwa sh 700000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6 location tabata kinyerezi dar es salaam Tanzania, ina vyumba 4 chumba kimojawapo master, sebule, jiko, public toilet, feni, Peving brock, umeme na maji unajitegemea, usalama 💯, parking kubwa, fensi, Rerseve water tank, kutembea kwa mguu 6-8,
Pia nyumba inarekebishwa kila kitu kuanzia rangi n.k
Calls 0768682919
0653233641
Note 📝
Service survey charge tsh 20000
Agent commission for one month apply
Follow me Dalali mchina tabata kinyerezi Facebook, Instagram & tik tok, napatikana tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam Tanzania, whatsapp 0768682919
0653233641