House for sale at Kinondoni, Dar Es Salaam


Nyumba inauzwa,
Ipo kinondoni mkwajuni,
Upande wa kulia ukielekea Morocco.
Kwa sasa ni nyumba ya kulala wageni (guest house ๐ )
Ina vyumba 9,
Vyote ni master bedroom.
Niko la nje na reception.
Bei mil 350 Maongezi yapo.
Mawasiliano 0679 077638