House for sale at Pugu, Dar Es Salaam


NYUMBA MBILI/MADUKA 3, KIWANJA SQM.2,000, TSHS.280 MIΔΉIONI, PUGU KAJIUNGENI.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Nyumba ya kwanza:
Ina vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ya pili:
Ina vyumba vya kulala 2 (Masta 1)
Sebule na Choo cha Familia ndani.
Kila nyumba inajitegemea huduma za Umeme na Maji.
Pia kuna Fremu za Maduka 3 na Kisima cha Maji na Huduma za Maji ya Dawasco ipo pia.
Ni jirani na Barabara ya Lami na nyumba ina AC na
Garden pia.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________tp
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali