House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







*APARTMENTS 3 Ndani ya fensi zinauzwa Milioni 28 maongezi kidogo yapo📍Zipo MBEZI MWISHO MAKABE MSAKUZI* Dar es salaam - Tanzania
◇Apartment ni chumba sebule wapangaji wanalipa kodi Elf 80 kwa kila apartment 1
◇Makusanyo ya kodi kwa mwezi kwa Apartment zote (3) ni laki (240,000) Kwa mwaka mzima ni milioni (2880,000) Kwa apartment zote 3
◇Plot size Sqmt 400
◇Document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua)
*Bei shilingi milioni 28 maongezi kidogo yapo*