House for Rent in Kimara, Dar Es Salaam


📌 Lipia Kodi hata mwezi mmojammoja
#Inapangishwa KIMARA KOROGWE
📌 Chumba master Kikubwa, Kodi ni 180,000/= *1
_______
___
#Maji BURE
#Umeme BURE
• Chumba Master Chenye Vitu Ndani. .. Kitanda, Godoro .....
• Sehemu kupumzika Shared
* Maji ndani
* Ndani ya fensi
* Parking
#Umbali wa dakika 12 kwa migu
#Nb: Anatakiwa bachelor
📍 Kama unavitu vyako haikufai
__________
Malipo ya dalali ni hela ya mwezi mmoja
Kupelekwa kuona 15,000/=




















