House for Rent at Magomeni, Dar Es Salaam



MADUKA MATANO, TSHS.270 MILIONI, MAGOMENI MAPIPA.
Hii nyumba inaangalia Barabara ya Lami ya Mtaa.
Mtaa uliojengeka KIBIASHARA.
Hapa kuna Fremu za Biashara/Maduka jumla 5.
Pìa kuna Nyumba ya vyumba vya kulala 2 nyuma.
Maduka yote yana WAPANGAJI kwa sasa.
Ukinunua utaamùa uishi nao au Usitishe Mikataba.
Kodi kila Duka ni Tshs.250,000/Mwezi.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________llk
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.