House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


(100,000X6) MBEZI LUGURUNI 2KM KUTOKA MOROGORO ROAD
➖➖➖➖➖➖➖
MASTER BEDROOM  KUBWA SANA NZURI INAPANGISHWA MBEZI LUGURUNI #100k
Chumba cha kulala Kikubwa  Choo ndani
Maji yanaflow chooni 
Umeme inajitegemea 
Kodi 100,000 Kwa mwezi × 6
Umbali KM 2 toka kituoni Boda boda 1000
Ndani ya fence parking kubwa 
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15
➖➖➖➖➖➖➖
CONTACT US:-
0716223412
0683597453



















