House for Rent at Tabata, Dar Es Salaam


🏠 NYUMBA INAUZWA – TABATA KIMANGA 🔥
📍 Dakika 2 tu kutoka kituoni
🚶♂️ Ufikaji rahisi sana
📐 Ukubwa wa eneo: SQM 600
💰 Bei: Milioni 75 (maongezi yapo kidogo)
✨ Hii ni fursa kwa mwekezaji:
✔ Unaweza kununua, ukakarabati na kupangisha kama standalone house
✔ Au kuvunja na kujenga apartments (units hadi 8 kulingana na ramani yako)
💵 Master + Sebule + Choo + Jiko zinaweza kupangishwa kuanzia 300,000/= kila mwezi kulingana na ubora wa finishing.
⚠️ Kumbuka: Gari haliingii (hakuna parking) – hivyo ni uwekezaji wa kupanga kwa walengwa wa eneo husika.
Eneo lina soko zuri la wapangaji – ni pa kuingiza pesa kwa akili ya uwekezaji.
📞 +255688412890
🎟 Viewing fee: 30,000/= TSH
dalaliwakishua
Dalali wako Wakishua 🏆
“Miliki Kesho Yako Leo!!!”
#daressalaam #viwanja #ujenzi #mpya


















