1 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







๐น๐ฟ MASTER BED ROOM YA KISASA โ KIMARA MWISHO
๐ Eneo: Kimara Mwisho
๐ Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 12 kwa miguu. Pia unaweza kupita kupitia Kimara Korogwe.
๐ SIFA ZA NYUMBA:
๐น Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
๐น Jiko zuri na la kisasa
๐น Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
๐น Maji yanapatikana masaa 24/7
๐น Fensi hamna & Parking kubwa na salama
๐ Chumba kitakuwa wazi tarehe 10/03/2026. Unaweza kuja kuangalia ndani na kufanya malipo luksa kabisa. Booking inaruhusiwa hata kwa mwezi mmoja.
๐ฐ GHARAMA:
๐ธ Kodi: Tsh 180,000 ร 6 (Miezi sita)
๐ธ Malipo ya dalali: Tsh 180,000
๐ธ Service charge: Tsh 15,000
๐ #Piga_simu๐
#please #Follow_us ๐
Karibu Sana Mteja! ๐
0679 997610
0747997630
Msigwa




















