1 Bedrooms House for Rent at Ubungo, Dar Es Salaam







(250,000 Γ 6) UBUNGO RIVERSIDE
Umbali wa Kutembea Kwa Mguu Dakika 8 kutoka Stand Riverside
ππππ πππ π
============
β’ Sebule Kubwa
β’ Chumba Kimoja Cha Kulala Kikubwa
β’ Jiko Kubwa
β’ Choo Kizuri Sana Ndani
Apartment zipo 5 ndani ya Eneo Moja Parking ipo na kila Apartment Umeme LUKU Sub Meter na Maji DAWASA yanaflow ndani
ππ€ππ π π¬π ππ¬ππ―π π£π Tsh. 250,000/- Malipo Miezi 6
πΌπ£πππ‘ππ―π€
Survey Charge ni 15,000
Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja
Contact:
0654101710
0787205300