4 Bedrooms House for Rent in Goba Kwa Oromi, Dar Es Salaam


Type
House
Bedrooms
4
Amenities
Description
STAND ALONE KALI INAPANGISHWA – GOBA KWA OROMI✨
Nyumba ya kifahari, safi na ya kisasa kabisa
✔️ Vyumba 4 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
✔️ AC ipo
✔️ Sebule kubwa sana yenye muonekano wa kuvutia
✔️ Jiko la kisasa kabisa
✔️ Parking kubwa
✔️ Public toilet
✔️ Security fancy & mazingira salama
✔️ Nyumba ina muonekano mzuri sana wa kuvutia
💰 Bei: Tsh 1,000,000/= kwa mwezi
💸 Service charge: 30,000/=
📞 Call / WhatsApp: 0787 093 748



















