4 Bedrooms House for sale at Kibaha, Pwani


NYUMBA KUBWA VYUMBA 4, TSHS.90 MILIONI,KIBAHA-KWAMATHIAS.
Hii nyumba kisasa ambayo ipo umbali wa
kilomita 1.5 tu kutoka Barabara ya Morogoro.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.900.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumbac4 vya kulala
Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna Nyumba ndogo mbili.
Kila moja ina Chumba kimoja,
Sebule na Jiko lake.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mpg